Visit Website

[PDF] KISWAHILI NOTES FORM FOUR - ALL TOPICS - Elimufix

pdf notes za kiswahili kidato cha nne | kiswahili notes kidato cha 4 pdf | nukuu za somo kiswahili kidato cha nne | kiswahili form four notes pdf 4m4

download Kiswahili kidato cha nne pdf | mada za kiswahili kidato cha nne | kiswahili notes form 4 | notes za kiswahili kidato cha nne mada  zote pdf notes | kiswahili notes form 4 4m4 notes kiswahili | kiswahili form 4 notes pdf download all topics of kiswahili

download Kiswahili kidato cha nne pdf | mada za kiswahili kidato cha nne | kiswahili notes form 4 | notes za kiswahili kidato cha nne mada  zote pdf notes | kiswahili notes form 4 4m4 notes kiswahili | kiswahili form 4 notes pdf download all topics of kiswahili - Elimufix

kiswahili form 4 topics | mada za kiswahili form four | Mada za kiswahili kidato cha nne

Zinazohusiana

KISWAHILI KIDATO CHA NNE MADA YA 1

1. Kuongeza Msamiati Wa Kiswahili

  • Uundaji wa Maneno
    • Elezea njia mbalimbali za uundaji maneno
    • Elezea mazingira yanayoelezea kuhitaji maneno mapya
    • Unda maneno katika miktadha mbalimbali

KISWAHILI KIDATO CHA NNE MADA YA 2

2. Ukuaji Na Ueneaji Wa Kiswahili Enzi Ya Waingereza Na Baada Ya Uhuru

  • Ukuaji na ueneaji wa Kiswahili katika enzi ya Waingereza
    • Elezea mambo waliyochangia waingereza katika ukuaji wa Kiswahili nchini Tanzania
  • Ukuaji na Ueneaji wa Kiswahili baada ya Uhuru
    • Elezea shughuli mbalimbali zinazowezesha kukua na kuenea kwa Kiswahili nchini
    • Elezea dhima ya kila asasi inayokuza Kiswahili

KISWAHILI KIDATO CHA NNE MADA YA 3

3. Uhakiki Wa Kazi Za Fasihi Andishi

  • Uhakiki wa Ushairi, Tamthiliya na Riwaya
    • Fafanua vipengele vya uhakiki
    • Baini taarifa muhimu za mwandishi wa kila kitabu

KISWAHILI KIDATO CHA NNE MADA YA 4

4. Kutunga Kazi Za Fasihi Andishi

  • Utungaji wa Mashairi
    • Fafanua mambo ya kuzingatia katika utungaji wa mashairi

KISWAHILI KIDATO CHA NNE MADA YA 5

5. Uandishi

  • Uandishi wa Insha za Kiada
    • Elezea muundo wa insha za kaida
  • Uandishi wa Hotuba
    • Elezea muundo wa hotuba
  • Uandishi wa Risala
    • Elezea muundo wa risala
  • Uandishi wa kumbukumbu za Mikutano
    • Elezea mambo ya kuzingatia katika uchukuaji wa kumbukumbu za mikutano

KISWAHILI KIDATO CHA NNE MADA YA 6

6. Ufahamu

  • Ufahamu wa Kusikiliza
    • Jibu maswali ya habari uliyosikiliza
    • Fupisha habari
  • Ufahamu wa Kusoma
    • Jibu maswali kutokana na habari ndefu uliyosoma
    • Fupisha habari ndefu uliyosoma


notes za kiswahili kidato cha nne | mada za kiswahili kidato cha nne pdf

Nukuu za somo kiswahili kidato cha nne zimejumuisha mada zote za kiswahili kwa kidato cha nne

download Kiswahili kidato cha nne pdf | mada za kiswahili kidato cha nne | kiswahili notes form 4 | notes za kiswahili kidato cha nne mada  zote pdf notes | kiswahili notes form 4 | 4m4 notes kiswahili | kiswahili form 4 notes pdf download all topics of kiswahili

Post a Comment

tuachie comment ili tuboreshe huduma zetu
Visit Website
Visit Website